Back
Kanye West Atangaza Kugombea Urais Mwaka Huu
Jul 5, 2020
Uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika Novemba mwaka huu na bado haijafahamika kama tayari ameanza mchakato rasmi.
Tayari watu mahiri wameanza kujihusisha na kauli hiyo huku bosi wa kampuni ya Tesla akimuunga mkono Kanye West wakati Josh Marshall akipinga na kusema Kanye ni kibaraka wa Rais Trump
19Shares
0Comments
0Favorites
8Likes
Say something to impress...
Loading...
Comments
Hot

No content at this moment.

Relevant people
Mseto
18580 Followers
Taarifa kwa utendeti
Related